Pamoja na mikataba mbali mbali ya kimataifa inayotambua haki za binaadamu na usawa kwa watu wenye ulemavu bado kuna vikwazo vingi vya kupatikana kwa haki kadhaa za watu wenye ulemavu hapa Zanzibar.Salma Said anaelezea baadhi ya vikwazo hiyo katika makala ya Mbiu ya Mnyonge.