Raia wa Ivory Coast hupenda samaki walobanikwa kutumia moshi. Lakini mchakato huo una hatari mbaya za kiafya kwa wanawake wanaohusika. Zaidi ya hayo wauzaji samaki pia wanakabiliwa na tatizo la maeneo ya uvuvi kuvamiwa na wachimba mchanga katika mji wa Abidjan, hivyo kuwapunguzia riziki.