Maendeleo ya kiteknolojia yamesaidia sekta tofauti kupiga hatua, kwa mfano mwelekeo wa utibabu nchini Ujerumani utakuwa ni wa kidijitali katika siku za mbele. Kazi kubwa itafanywa na kompyuta na daktari atakuwa msimamizi. Afrika, teknolojia kwa mara ya kwanza nchini Kenya imeweza kuwasaidia wafugaji wanatapatapa kutafuta maji kwa ajili ya mifug ya. Kusikia yote hayo, Ungana na Yusra Buwayhid.