JamiiMadhila yanayowakumba watoto wa mitaani mjini GomaTo view this video please enable JavaScript, and consider upgrading to a web browser that supports HTML5 videoJamii14.05.202114 Mei 2021Watoto wa mitaani mjini Goma,jimboni Kivu ya Kaskazini maarufu ''Mayibobo'' wanadai kutoroka makwao kwa sababu ya dhulma kutoka kwa familia. Lakini vita na umasikini ni changamoto pia kwa vijana hao.https://p.dw.com/p/3tPh3Matangazo