Mwaka 2009, watu 277 walifariki katika ajali ya moto iliyotokea kwenye gari la kubebea mafuta lililowaka moto katika kaunti ya Nakuru nchini Kenya. Miaka 11 baadaye, wahanga na watu waliopoteza ndugu wa karibu bado wanapata mateso, ikiwemo kubaguliwa na kutokujaliwa na serikali.