Kila nchi duniani imeweka umri ambao mtu akiufikisha anachukuliwa kuwa mtu mzima. Kwa Ujerumani ni miaka 18. Je, kuvuka ujana kuingia utu uzima kunamaanisha nini, hasa kisheria? Ni mambo yapi ambayo mtu aliyetimiza miaka 18 anaruhusiwa kufanya? Ni wajibu gani anaotakiwa kuubeba? Ni mada ya Sura ya Ujerumani.