1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Maafa kutokana na mvua Kenya

24 Aprili 2020

Mvua nyingi zinazoshuhudiwa maeneo kadhaa Kenya zimesababisha maafa katika maeneo mbalimbali nchini humo. Wengi wamelazimika kuyaacha makwao kwa sababu ya mafuriko na sasa baadhi yao wanahofia watakuwa katika natari kubya ya kuambukizwa na virusi vya corona. #kurunzi

https://p.dw.com/p/3bMg7