1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Liberia

Ni nchi iliyoko kwenye pwani ya Afrika Magharibi. Maana ya Liberia ni “taifa la watu huru” katika lugha ya Kilatini. Inapakana na Sierra Leon, Guinea na Cote d’ivoire.