1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Baadhi ya mashirika ya ndege yataka kuwapima abiria uzito

Saumu Yusuf5 Februari 2021

Kwenye kipindi cha Karibuni Saumu Mwasimba amekuandalia mengi ikiwa ni pamoja na baadhi ya mashirika ya ndege kuonesha nia ya kutaka kuwapima watu uzito. Vilevile utasikia kisa kilichotokea Afrika Kusini ambapo familia moja ilipigwa na butwaa walipoona mamba katika bwawa lao la kuogelea asubuhi. Lakini pia kuna mgeni wa wiki na bila shaka burudani ya muziki. Sikiliza.

https://p.dw.com/p/3ov6o