Uandishi wa mashairi ni mkongwe kwenye utamaduni wa Waswahili na washairi wamekuwa na mchango mkubwa sana sio katika kuuhifadhi utadamuni wa Kiswahili, bali pia kuathiri fikra za kisiasa na kijamii kwenye eneo zima la upwa wa Afrika ya Mashariki. Mohammed Khelef amekutana na mwandishi wa Diwani ya Barsheba, Nassor Hilal al-Kharusi wa Mjini Unguja.