SiasaKura za mchujo za Jubilee zaahirishwaTo play this audio please enable JavaScript, and consider upgrading to a web browser that supports HTML5 videoSiasaIddi Ismail Ssessanga21.04.201721 Aprili 2017Hali ya sintofahamu imegubika mchakato wa kura za mchujo za chama talawa nchini Kenya, Jubilee. Katika kaunti ya Nakuru, zoezi hilo limeahirishwa baada ya wagombea kilalamikia udanganyifu na ukosefu wa mipangilio.https://p.dw.com/p/2bi3KMatangazo