1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Kura za mchujo za Jubilee zaahirishwa

Iddi Ismail Ssessanga21 Aprili 2017

Hali ya sintofahamu imegubika mchakato wa kura za mchujo za chama talawa nchini Kenya, Jubilee. Katika kaunti ya Nakuru, zoezi hilo limeahirishwa baada ya wagombea kilalamikia udanganyifu na ukosefu wa mipangilio.

https://p.dw.com/p/2bi3K