Kenya: Shambulio la Guruneti katika kanisa mjini Nairobi
30 Aprili 2012Matangazo
Mtu mmoja aliuwawa katika tukio hilo.Polisi bado wanaendelea kumsaka mtuhumiwa.Kutoka Nairobi Mwandishi wetu Alfred Kiti ametutumia ripoti ifuatayo juu ya hali ilivyo kwa sasa.
(Kusikiliza ripoti hiyo bonyeza alama ya spika za masikioni hapo chini)
Mwandishi Alfred Kiti
Mhariri AbdulRahman