1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW
Mtindo wa maisha

Kenya: Kukamua sumu ya nyoka kunaokoa maisha

1 Desemba 2023

Wenyeji wa kijiji cha Gede nchini Kenya huwakama nyoka na kuwakamua kupata sumu yao.Utamaduni huo muhimu hutekelezwa kwa ajili ya kupata kinga dhidi ya sumu ya nyoka na kuokoa maisha, bila hivyo watu wengi wanaweza kupoteza viungo vyao baada ya kuumwa na nyoka na kukosa tiba.

https://p.dw.com/p/4Zh8R
Ruka sehemu inayofuata Kuhusu kipindi

Kuhusu kipindi

Kurunzi

Vidio ya habari na matukio