je imani za kishirikina au waganga wa kienyeji ni njia unayotumia kukuletea maendeleo? Au kutafutia ufumbuzi wa maisha yako? je unaamini katika uchawi na mambo ya kishirikina? ndiyo maswali yanayodajiliwa katika leo katika kipindi cha Vijana Mubashara, kikiletwa kwako na Sylvia Mwehozi