JamiiJuhudi za wanawake katika jamii za wafugajiTo play this audio please enable JavaScript, and consider upgrading to a web browser that supports HTML5 videoJamiiWakio Mbogho/MMT17.10.201817 Oktoba 2018Wanawake katika jamii za wafugaji hukabiliwa na changamoto mbalimbali. Katika makala ya Wanawake na Maendeleo, Wakio Mbogo anaangazia juhudi za wanawake kutoka jamii za wafugaji kutambua uwezo na nafasi zao ili kujiimarisha katika jamiihttps://p.dw.com/p/36g9hMatangazo