MuzikiTanzaniaJe unaijua Bendi ya wanawake inayovuma Tanzania?To view this video please enable JavaScript, and consider upgrading to a web browser that supports HTML5 videoMuzikiTanzaniaAmina Mjahid 09.11.20229 Novemba 2022Bendi ya Muziki ya Bahati Female Band inayowajumuisha wanawake watupu wachapa kazi, inaendelea kuwa maarufu kutokana na namna inavyo piga vyombo vya muziki na kuimba kwa msisimko na umahiri wa aina yake nchini Tanzania. #kurunziwanawake09.11.2022https://p.dw.com/p/4JGA0Matangazo