Mwanamwema na Fadhili waliyaishi maisha yao kwa ihsani na kuenziana hadi siku Kijakazi Sidi alipogonga mlango wa nyumba yao, maana alikuja na yake yaliyozidharau fadhila za Fadhili na kuusahau wema wa Mwanamwema.
https://p.dw.com/p/1Hg4h
Matangazo
Kusikiliza simulizi hii ya Khadija Ali juu ya ihsani iliyochezewa pata-potea na mja mkosa shukurani, bonyeza alama ya spika za masikioni hapo chini.