JamiiAfrika Guillaume analiunganisha taifa kupitia elimu na michezoTo view this video please enable JavaScript, and consider upgrading to a web browser that supports HTML5 videoJamiiAfrika15.08.202215 Agosti 2022Guillaume amekusanya wanafunzi kutoka jamii mbalimbali DRC na kuendeleza masomo ya darasani kadhalika michezo wakati huu wa likizo katika taifa hilo, wanafunzi wanaona huo ni mwanzo mpya katika kujenga jamii yenye mshikamo bila kujali ukabilahttps://p.dw.com/p/4FXi8Matangazo