Ferrari yaapa kuwania ubingwa wa dunia
18 Aprili 2014Matangazo
Mattiacci alikuwa akizungumza na waandishi wa habari kwa mara ya kwanza hapo jana baada a kuwasili China kwa mkondo wa Shanghai alipochukua nafasi ya Stefano Domenicali, aliyejiuzulu siku ya Jumatatu.
Wiki mbili zilizopita, madereva wa Ferrari Fernando Alonso na Kimi Raikknen walimaliza katika nafasi za tisa na kumi katika mkondo wa Bahrain Grand Prix, baada ya kushindwa kupambana na kasi ya timu zilizoongoza.
Mwandishi: Bruce Amani/AFP/DPA/Reuters
Mhariri: Yusuf Saumu