You need to enable JavaScript to run this app.
Nenda kwenye maudhui
Nenda kwenye orodha kuu
Nenda tovuti zaidi za DW
Vidio zetu
Sauti zetu
Maeneo
Tanzania
Kenya
Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo
Afrika
Ulaya
Mada
Haki za binadamu
Mazingira
Afya
Teknolojia
Kategoria
Matukio ya Kisiasa
Masuala ya Jamii
Michezo
Sauti zetu
Vidio zetu
Yanayoangaziwa
Mzozo wa Israel na Hamas
Bundesliga
Kivuli cha Ukoloni wa Ujerumani
Fathiya Omar
Ruka sehemu inayofuata Taarifa na Fathiya Omar
Taarifa na Fathiya Omar
Je, unazifahamu dalili za ukomo wa hedhi, kuna hatari yoyote na unawezaje kuzitambua na kushuzishughulikia kwa namna salama?
Je, unazifahamu dalili za ukomo wa hedhi, kuna hatari yoyote na unawezaje kuzitambua na kushuzishughulikia kwa namna salama?
Je, unazifahamu dalili za ukomo wa hedhi, kuna hatari yoyote na unawezaje kuzitambua na kushuzishughulikia kwa namna salama?
Tatizo la watoto kukosa umakini au nguvu kupita kiasi-ADHD
Tatizo la watoto kukosa umakini au nguvu kupita kiasi-ADHD
Kurunzi afya leo inamulika tatizo la afya la kukosa umakini au nguvu kupita kiasi, kitaalamu likijulikana kama ADHD miongoni mwa watoto. Baadhi ya Watoto hukumbwa na tatizo hilo kuanzia umri mdogo huku wazazi wasijue kuwa ni tatizo la kiafya, ambalo kulingana na WHO liko miongoni mwa matatizo ya afya ya akili. Fathiya Omar amezungumza na wataalam mjini Mombasa. #Kurunziafya
Haytham Isse kijana anaetoa elimu kwa vijana wenzake
Haytham Isse kijana anaetoa elimu kwa vijana wenzake
Elimu ni nguzo inayoongoza kuelekea mafanikio. Haytam kupitia shirika lake la Kijamii la Future Pillars akishirikiana na wenzake anahakikisha kila kijana anapata fursa ya kusonga mbele kielimu. Fathiya Omar amezungumza nae kwa kirefu katika Makala hii ya vijana na uongozi.
Matumizi yaliokithiri ya muguka na madhara yake kiafya
Matumizi yaliokithiri ya muguka na madhara yake kiafya
Matumizi mabaya ya muguka na dawa zingine za kulevya yamesababisha ongezeko kubwa la waraibu katika vituo vya kurekebishia tabia. Hata hivyo viongozi wa Mombasa kupiga marufuku usafirishwaji na uuzwaji wa aina hiyo ya bidhaa. Tazama video kuona madhara yake kiafya.
Kwa nini wanaume wengi hawatafuti msaada wa afya ya akili ?
Kwa nini wanaume wengi hawatafuti msaada wa afya ya akili ?
Katika mwezi huu wa kuhamasisha jamii kuhusu afya ya akili, swali linalozidi kuibuka ni: kwa nini wanaume wengi hawatafuti msaada wa afya ya akili? Kulingana na wataalamu wa saikolojia, inaonekana kuwa wanawake wengi wanagunduliwa na matatizo ya afya ya akili ikilinganishwa na wanaume. Lakini, ni nini hasa kinachosababisha tofauti hii ?
Mgomo wa madaktari waumiza wagonjwa Kenya
Mgomo wa madaktari waumiza wagonjwa Kenya
Baadhi ya familia zinaomboleza vifo vya wapendwa wao kutokana na kukosa huduma za matibabu katika hospitali za umma.
Onesha taarifa zaidi
Nenda ukurasa wa mwanzo