1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Fahamu kwa undani maradhi ya homa ya manjano

Zainab Aziz
17 Agosti 2020

https://p.dw.com/p/3h4zb

Kwa mujibu wa tafiti za kisayansi kuhusu ugonjwa wa homa ya manajano, binadamu anapata maradhi hayo baada ya kuumwa na mbu mwenye virusi. Mbu hao wako katika sehemu za joto, barani Afrika na Amerika ya Kusini. Ikiwa mtu anaambukizwa virusi vya ugonjwa huo, ini lake pamoja na viungo vingine vya ndani vinaweza kudhurika na kusababisha kifo. Kwa mengi zaidi unganana na Zainab Aziz katika makala ya Afya Yako.