1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

eSwatini yaadhimisha miaka 50 ya uhuru

Sylvia Mwehozi
6 Septemba 2018

Taifa la kifalme la eSwatini ambalo zamani lilijulikana kama Swaziland linatimiza miaka 50 tangu lijipatie uhuru wake. Mjadala mkubwa uliotawala ni namna nchi hiyo ilivyobadili jina, hali ambayo itailazimu sasa kutumia gharama kubwa kubadili kila kitu ambacho kilikuwa na jina la awali. Sylvia Mwehozi amezungumza na Prof Mwesiga Baregu, ili kufahamu tija ya kubadili jina wakati huu.

https://p.dw.com/p/34RKz