Maandalizi ya mwisho mwisho ya michuano ya Kombe la Mataifa ya Afrika – AFCON yaendelea nchini Cameroon licha ya kitisho cha Corona na cha usalama // Bundesliga yajiandaa kurejea kutoka mapumziko mafupi chini ya wingu la ongezeko la maambukizi ya corona miongoni mwa wachezaji // Na Liverpool na Chelsea zafanya kinyang'anyiro cha ubingwa wa Premier League kuwa mteremko kwa Manchester City