1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Bayern watapindua kipigo na wafuzu robo fainali Champions League?

4 Machi 2024

Bayern Munich wana nafasi ya kuyaweka hai matumaini yao ya kupata angalau taji moja msimu huu watakapotembelewa na Lazio hapo Jumanne katika mechi ya Ligi ya Vilabu Bingwa Ulaya, Champions League. Katika mechi ya raundi ya kwanza iliyochezwa huko Italia, Bayern walifungwa 1-0. Msikilize Bruce Amani akitoa tathmini yake kuhusiana na iwapo Bayern wataweza kukipindua kipigo hicho na wasonge mbele.

https://p.dw.com/p/4d9Qj
Ruka sehemu inayofuata Zaidi kutoka kipindi hiki
Ruka sehemu inayofuata Kuhusu kipindi

Kuhusu kipindi

Symbolbild I Kinderarbeit in Honduras
Picha: Rafael Ochoa/Photoshot/picture alliance

Michezo