Baraza la habari Tanzania MCT, limesikitishwa na kuendelea kufungiwa kwa magazeti nchini humo likidai vitendo hivyo vinaathiri uhuru wa vyombo vya habari. Gazeti la Tanzania Daima ni la kribuni kufutiwa leseni ya uchapishaji. Katibu mtendaji wa MCT Kajubi Mkajanga ametoa wito ufuatao.