Mafuta, dhahabu, na kakao: vitu muhimu kwa uchumi wa Ghana. Kama mataifa mengi ya bara la Afrika, Ghana inategemea zaidi mali ghafi kuingiza fedha za kigeni. Lakini taifa hilo lina mapungufu ya viwanda vya uzalishaji. Yusra Buwayhid anaangalia juhudi za mfanyabiashara mmoja aliyeamua kuibadilisha hali hiyo kwa kuiingiza Ghana kwenye soko la magari.
Mafuta, dhahabu, na kakao: vitu muhimu kwa uchumi wa Ghana. Kama mataifa mengi ya bara la Afrika, Ghana inategemea zaidi mali ghafi kuingiza fedha za kigeni. Lakini taifa hilo lina mapungufu ya viwanda vya uzalishaji. Malori pamoja na vifaa vinavyohitajika vyote vinahitaji gharama kubwa. Yusra Buwayhid anaangalia juhudi za mfanyabiashara mmoja aliyeamua kuibadilisha hali hiyo kwa kuiingiza Ghana kwenye soko la magari.