Wakaazi wa mtaa wa Likong'o Tanzania wanasema hawana raha kwa sababu ahadi waliyopewa haijatimizwa. Ahadi wanayosema imewaacha katika hali ya sintofahamu huku wakibweteka tu. Je ni ahadi gani hiyo? Mradi uliosababisha ahadi kutolewa ni upi? Salma mkalibala anasimulia kilio cha wakaazi hao.