Mkutano kati ya Kansela wa Ujerumani Angela Merkel na viongozi wa kiafrika, vifo vinavyotokana na maradhi ya Ebola DR Kongo na kuchaguliwa kwa rais wa kwanza mwanamke nchini Ethiopia ni miongoni mwa yaliyomo katika makala hii ya Afrika Katika Magazeti ya Ujerumani, iliyoandaliwa na Zainab Aziz.