Visa vya ugonjwa wa Corona vinaendelea kuongezeka katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo// Bunge la bajeti nchini Tanzania limeanza leo// Vita dhidi ya COVID 19 vimepata msukumo mpya nchini Kenya baada ya Baraza la senate kutenga shilingi milioni 200 za bajeti yake ili kupambana na athari za homa hiyo.