Tshisekedi apinga mageuzi ya kimahakama Congo// Merkel na Macron, wahimiza mpango madhubuti kuokoa uchumi// Wakazi wa Afrika Mashariki wamegawanyika baada ya mataifa ya Umoja wa Ulaya kuweka bayana orodha ya watakaoweza kuingia ndani ya mipaka yao// Kenya- Baraza la wazee wa jamii ya Gabra na Borana zimeafiki kusaidia katika kusitisha vita vya kikabila vinavyoendelea kushuhudiwa kwenye eneo hilo.