Ujerumani yarefusha agizo la watu kutokaribiana// Umoja wa mataifa umeonya kuhusu hali ya nchini Syria kwamba inaweza kuwa ni janga zaidi la kibinadamu kufuatia mripuko wa ugonjwa wa Corona/ Mashirika ya kiraia nchini Tanzania yanataka gharama za internet na simu zishushwe wakati huu wa janga la corona/ Umoja wa Falme za kiarabu hauchukui hatua za kutosha kukabiliana na utakatishaji fedha.