1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

29.11.2018 Taarifa ya habari Asubuhi

29 Novemba 2018

Rais wa Ukraine President Petro Poroshenko amemtuhumu mwenzake wa Urusi Vladimir Putin kwa kutaka kuinyakua nchi yake // Ujerumani itaongeza ufadhili wake kwa nchi zinazoendelea ili kukabiliana na mabadiliko ya tabianchi // Na Ubalozi wa Marekani nchini Congo utafungwa leo kwa siku ya nne mfululizo kufuatia habari za kitisho cha kigaidi

https://p.dw.com/p/395wa