Korea Kaskazini imeapa kulifunga eneo lililotumika kwa majaribio ya silaha za nyuklia la Punggye-ri ifikapo mwezi ujao, Ujumbe wa baraza la usalama la Umoja wa Mataifa wawasili katika kambi inayowahifadhi maelfu ya wakimbizi wa jamii ya Waislamu wa Rohingya na waziri wa mambo ya nje wa Marekani, Mike Pompeo yuko nchini Saudia Arabia.