1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

29.01.2019 Matangazo ya Asubuhi

TSA / S08S29 Januari 2019

Huku Uganda na Tanzania zikiazimia kuanza kutekeleza mradi wa ujenzi wa bomba la mafuta ghafi mwezi Juni mwaka huu, suala na kuwafidia wamiliki wa ardhi upande wa Uganda lingali nyeti// Nchi nyingi za kiafrika haziruhusu raia wake kuwa na uraia wa nchi nyingine kwa wakati mmoja// Maelfu ya Wapalestina hawapati tena msaada wa chakula na huduma za msingi kutoka Amerika.

https://p.dw.com/p/3CLzr