1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

28.07.2020 - Matangazo ya Asubuhi

TSA / S08S28 Julai 2020

Tanzania: Chama cha wananchi, CUF kimefanya mkutano wake mkuu/ Uganda: Jumuiya ya wasanii inapinga vikali sheria mpya zinazowataka kuwasilisha kazi zao kwenye tume ya mawasiliano kabla ya kuzirekodi na kuzisambaza/ Rais wa Mali ametangaza mipango ya kuunda serikali itakayojumuisha upande wa upinzani/ Maisha ya muislamu katika jeshi la Ujerumani yakoje?

https://p.dw.com/p/3g121