Blinken akutana na viongozi Kenya/ Utulivu warejea Kampala baada ya miripuko/ Tanzania yakusanya silaha zinazomilikiwa kinyume cha sheria/ Tanzania: Wadau wa habari wamewassilisha serikalini mapendekezo mbalimbali ya mabadiliko ya sheria ya habari ya nchi hiyo kwa lengo la kuondosha vifungu kandamizi dhidi ya watoa huduma wa sekta hiyo/ Mzozo kati ya Poland na Belarus kuendelea kwa miezi kadhaa