Baraza la Seneti Marekani lamuidhinisha Amy Barrett kuwa jaji wa Mahakama ya Juu // Mvutano kati ya Umoja wa Ulaya na Uturuki waongezeka kuhusu matusi ya Rais wa Uturuki kuelekea kwa rais wa Ufaransa // Na Azerbaijan na Armenia zatuhumiana kwa kukiuka mpango wa usitishwaji mapigano katika jimbo la Nagorno-Karabakh