Mgombea urais wa Zanzibar kwa tiketi ya chama cha ACT Wazalendo Maalim Seif Sharif Hamad ameachiwa huru, baada ya kushikiliwa kwa masaa kadhaa mjini Unguja// Leo visiwani Zanzibar limefanyika zoezi la kupiga kura ya mapema ambapo watu maalum walishiriki katika zoezi hilo la kupiga kura siku moja kabla ya kesho tarehe 28.