Mshambuliaji aliyewauwa waumini 51 nchini New Zealand amekumiwa kifungo cha maisha jela. Ugiriki imesema iko tayari kupunguza mvutano kuhusu eneo la bahari pindi Uturuki itaacha uchokozi. Upinzani nchini Mali umesema uko tayari kufanya kazi na wanajeshi waliongoza mapinduzi