Kansela wa Ujerumani Angela Merkel na wakuu wa majimbo 16 ya Ujerumani wamekubaliana kuongeza marufuku ya matukio makubwa ya umma hadi mwishoni mwa mwaka// Ujerumani- Hatua zisio za uhakika za kujikinga na virusi vya corona lazima zimalizike sasa// Kundi la kwanza la wakimbizi wa Burundi waliokuwa wamepewa hifadhi katika kambi ya mahama nchini Rwanda wanarudi nyumbani nchini Burundi hii leo.