1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

27.07.2021 Matangazo ya mchana

SK2 / S02S27 Julai 2021

Vyama vya upinzani nchini Tanzania vimelaani vikali kitendo cha kufunguliwa mashtaka ya ugaidi mwenyekiti wa chadema, Freeman Mbowe// nchini Kenya kiongozi wa Orange Democratic Movement, ODM Raila Odinga kulegeza msimamo na kuridhia kugawanya hela za vyama vya siasa na wenzake// Hali ya sintofahamu ya kisiasa inaendelea kushuhudiwa nchini Tunisia

https://p.dw.com/p/3y7rj