Mwenyekiti wa CHADEMA Freeman Mbowe jana alifikishwa katika mahakama ya mkazi kisutu nchini Tanzania na kusomewa mashtaka// Kiongozi wa chama cha ODM nchini Kenya Raila Odinga amelegeza msimamo kuhusu ugavi wa fedha za vyama vya kisiasa na wenzake walioko katika muungano wa NASA//Chama kikubwa nchini Tunisia cha Ennahda kimeitisha mazungumzo ya kisiasa yatakayoitoa nchi hiyo katika mgogoro