China imesema mpango wa Umoja wa Ulaya kuanzisha kodi ya kwanza ya dunia ya viwango vya gesi ya kaboni kutatanua masuala ya mazingira na kuyageuza kuwa ya kibiashara// Balozi wa hiari wa Umoja wa Mataifa anayeshughulikia maendeleo ya kilimo amesema wakulima wadogowadogo wanaweza kutoa mchango mkubwa katika upatikanaji endelevu wa chakula duniani