Urusi imezikamata meli tatu za wanamaji wa Ukraine katika pwani ya Crimea // Marekani yakifungua tena kivuko cha mpakani California baada ya wahamiaji kujaribu kuingia kwa nguvu // Na Rais wa Uganda Yoweri Museveni ameamuru hatua kali za usalama baada ya boti ya abiria kuzama katika Ziwa Victoria