Jeshi la Sudan: Tulimkamata waziri mkuu kwa usalama wake/ Umoja wa Afrika na Umoja wa Ulaya zimekubaliana kuimarisha ushirikiano kuzikabili changamoto mbalimbali/ Bukavu: Maandamano makubwa, lengo likiwa kushinikiza serikali itimize ahadi yake ya kuboresha mishahara ya walimu/ Mkutano wa kilele wa viongozi wa mataifa ya Kusini Mashariki mwa Asia, ASEAN umeanza bila ya uwakilishi wa Myanmar