Congo: Zaidi ya familia 300 zimeyakimbia makazi yao kufuatia machafuko yanayofanywa na makundi yenye silaha/ Kenya: Janga la ukame laathiri maeneo ya Kilifi/ Mamia ya wajumbe kutoka zaidi ya nchi 40 barani Afrika wamekutana jijini Nairobi kuhudhuria kongamano la kimataifa kuhusu maswala ya kijinsia/ Mzozo wa Ukraine/ Kipi kinachochea ushindi wa vyama vya kihafidhina Ulaya?