Vikosi vya jeshi la Israel vimepambana na wapiganaji wa Hamas katika Ukanda wa Gaza leo+++Serikali ya Kenya imeanza rasmi kuzikabidhi familia, miili ya wafu iliyofukuliwa kwenye msitu wa shakahola+++Nchini Marekani meli moja ya kubeba mizigo imeligonga daraja kuu kwenye mji wa Baltimore