1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

26.02.2019 Matangazo ya Jioni

SK2 / S02S26 Februari 2019

Waziri Mkuu wa Uingereza Theresa May leo ameahidi kuliruhusu Bunge kuchelewesha mchakato wa kujitoa katika Umoja wa Ulaya maarufu Brexit kwa hadi miezi mitatu// Urusi imeelezea wasiwasi wake kwamba Marekani inajiandaa kuiingilia Venezuela kijeshi// Watu 57 waliokuwa wapiganaji wa kundi la M23 waliokimbilia Uganda wamerudishwa kwa hiari yao Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo.

https://p.dw.com/p/3E8Xg