Uholanzi imekumbwa na ghasia kwa siku ya pili sasa huku waandamanaji wakiwa wanapinga hatua za karantini wakati idadi ya watu wanaoambukizwa virusi ulimwengu ikikaribia kufikia milioni 100// Jamhuri ya Afrika ya Kati yasema imewauwa waasi 44 // Wanafunzi Kenya wachoma shule kabla ya mitihani ya taifa// Marekani yasimamisha vikwazo dhidi ya waasi wa Yemen kuimarisha msaada.