Kenya: Hali ilivyo kufuatia maporomoko ya udongo yaliyosababisha vifo vya zaidi ya watu 41/ Kongo: Waandamanaji wenye hasira kwenye mji wa Beni katika wameichoma moto ofisi ya Meya/ Siku ya kupambana na unyanyasaji dhidi ya wanawake/ Lebanon: Hezbollah yakabiliana na waandamanaji dhidi ya serikali/ Wapigania demokrasia Hong Kong wapata ushindi wa kishindo